Ndani ya nyumba ya ufufuo na uzima ARUSHA, huku Jackson Benty na platform wakimsifu Mungu mashetani yaliyo kuwa ndani ya Dada mmoja yalipuka na Akafunguliwa hapo hapo,, halleluya Yesu atukuzwe
Sunday, October 19, 2014
ARUSHA YA PINDULIWA CHINI JUU
Kutoka katika Bonde la kukata maneno KAWE, Dar es salamu, Ni yule yule MWANAMAPINDUZI Pastor MAXIMILIAM MACHUM atua katika Bonde la kukata maneno ARUSHA , Bonde la tikiswa kwa nguvu za MUNGU
pastor maximilian machumu ndani ya bondela ufufuo na uzima Arusha |
maelfu ya wakazi wa Arusha wakimshangilia MUNGU na kumsifu, huku mwana mapinduzi akimwimbia Bwana Yesu wimbo wa bonde la kukata maneno
MWANAMAPINDUZI ( PASTOR MAXIMILIAN MACHUMU |
MAKUTANO YA MAJESHI YA BWANA ARUSHA |
maeflu ya watu ufufuo na uzima ARUSHA |
Subscribe to:
Posts (Atom)