Sunday, October 19, 2014

PEPO WALIPUKA IBADA YA SIFA UFUFUO NA UZIMA ARUSHA

Ndani ya nyumba ya ufufuo na uzima ARUSHA, huku Jackson Benty na platform wakimsifu Mungu mashetani yaliyo kuwa ndani ya Dada mmoja yalipuka na Akafunguliwa hapo hapo,, halleluya Yesu atukuzwe

Dada aliyekuwa amekubwa na mashetani

Dada baada ya kufunguliwa

Maelfu katika bonde la ufufuo na uzima ARUSHA wakimchezea MUNGU

No comments:

Post a Comment