PEPO WALIPUKA IBADA YA SIFA UFUFUO NA UZIMA ARUSHA
Ndani ya nyumba ya ufufuo na uzima ARUSHA, huku Jackson Benty na platform wakimsifu Mungu mashetani yaliyo kuwa ndani ya Dada mmoja yalipuka na Akafunguliwa hapo hapo,, halleluya Yesu atukuzwe
Dada aliyekuwa amekubwa na mashetani
Dada baada ya kufunguliwa
Maelfu katika bonde la ufufuo na uzima ARUSHA wakimchezea MUNGU
No comments:
Post a Comment